Translate

Translate

Friday, 25 October 2013

MAFUNZO YA PETS BURE

PETS(PUBLIC EXPENDICTURE TRACKING SYSTEM OR SURVEY)mfumo wa ufatiliaji wa matumizi wa rasilimali za umma,.
Huu ni mfumo rafiki ambao unawaitaji viongozi wetu kuwa wawajibikaji na wawazi na kuwa na usawa katika jamii ya kitanzania.Hivyo basi mfumo huu upo sambamba kabisa na mapato na matumizi katika muundo mzima wa serikali.Jambo la msingi ni kujua kodi zetu ndo zinaleta maendeleo katika nchi yetu hivyo wananchi tunahaki ya kuoji na kuuliza na kukemea pale unapotokea ubadhirifu hivyo tutambue kuwa watu wote wa serikali tunawalipa sisi wananchi kwa kodi zetu hivyo tusikubali kodi zetu zitumike vibaya pasipo na sababu ya msingi tena kwa faida ya mtu binafsi ila tudai haki ya kodi zetu kwa kufanya shughuri za kimaendeleo zaidikuliko za kawaida.mfano unakuta viongozi wanapanga bajeti kubwa katika matumizi ya kawaida kuliko ya maendeleo.LAZIMA WATANZANIA IFIKE WAKATI TUFATILIE MATUMIZI YA FEDHA ZETU AMBAZO NI KODI KILA MWANANCHI ANALIPA KODI JE?SERIKALI INAWAJIBIKA KATIKA PESA ZETU?.naitwa mwezeshaji JOSEPH MALISA natoa mafunzo haya bure kabisa katika kamati yoyote hapa nchi.gharama ya nauli juu yenu namba zangu 0712064800