Translate

Translate

Wednesday, 2 April 2014

JE?UNAWAZO GANI KATIKA HILI?UNAWAAMBIA NINI KATIKA KUTUNZA MAZINGIRA?tazama picha katika jiji la Arusha jinsi mitalo ya maji inavyokuwa kero kwa afya

Ni wazi kabisa tunatambua hili ni tatizo kubwa ingawa linachukuliwa kawaida sana,katika haki za binadamu lazima tuzingatie na mazingira yake anayoishi.



Mradi wa barabara umeletwa katika jamii ni jambo zuri sana lakini inakuwa mbaya sana kama barabara hizo zinatengenezwa bila kukamilika kabisa hii ni kuchezea fedha za umma

Hizi picha ni katika jiji la Arusha asilimia kubwa sehemu nyingi mitalo haijafunikwa kabisa jambo ambalo linasababisha kuchafua mazingira ya jiji.

weka mazingira safi ili yakuweke safi