Translate

Translate

Monday, 7 April 2014

SAFISHA JIJI TANDIKA SOKONI WAKIMBIZANA NA MIZIGO tazama picha


Operesheni ya safisha jiji katika mji wa dar es salaam umekuwa gumzo kubwa sana katika maeneo mbalimbali jijini dar es salaam baada ya wafanyabiashara kukimbizana na mizigo yao ili kuepusha shari ya serikali,
katika eneo la Tandika sokoni jana asubuhi wafanyabiashara hao ambao waliweka biashara zao katika maeneo yasiyo sahihi walikumbwa na operesheni hiyo ya kusafisha jiji,pia katika maeneo ya mbagala safisha jiji ilifanyika kupitia jeshi la polisi likisaidiaana na jeshi la wagambo.