Translate

Translate

Saturday, 18 April 2015

BARABARA ZA JAZWA VIFUSI VYA MATOPE MTAA WA MAKANGARAWE WILAYA YA TEMEKE


 Juhudi za maendeleo mtaa wa Makangarawe Wilaya ya Temeke Jijini Dar es salaam Serikali imejaza vifusi  barabara za mtaa wa Makangarawe jinsi ambavyo wananchi wa maeneo hayo wakilalamika kuwa vifusi hivyo ni matope matupu kipindi cha mvua zikianza kunyesha.

Juhudi hizo za serikali ziliongozwa na mwenyekiti wa mtaa kuhakikisha zoezi ilo linakamilika.





Hitambulike kuwa fedha zinazotumika katika ujenzi huu ni fedha za  wananchi hivyo kuweka vifusi ambavyo vinaongeza gharama ni ufujaji wa fedha za umma pasipo malengo, Ni wazi kabisa uwekaji huu wa vifusi ni wakibabaishaji ambao matokeo yake ni matumizi mabaya ya fedha.

Wananchi wanahaki wa kukemea jambo kama ili na kuligomea ili kuonesha msimamo wao ili mambo kama haya ya matumizi mabaya ya fedha yasijitokeze kama serikali inaamuwa kuweka vifusi barabara za mtaa basi hihakikishe inaweka kifusi cha uhakika na cha kudumu chenye mwendelezo kuliko kuweka matope ambayo na chafuzi katika mazingira yetu

Wananchi inawapasa watambue MATUMIZI MABAYA NI UBADHILIFU hivyo vipigwe vita tabia hii.








WANAFUNZI HATARINI NA MAGONJWA YA MRIPUKO SHULENI

Ni katika hari ya kutisha sana ambayo mwandishi amethibitisha hatari iyo ambayo inapelekea magonjwa ya mripuko kama kipindupindu hata magonjwa ambayo yataendana na mazingira machafu pasipo kutuzwa . Hari hii imejionesha katika baadhi ya shule za wilaya ya Temeke jijini  Dar es salaam jambo ambalo ni hatari sana kwa afya za watoto ambao wapo shuleni .


 serikali na wananchi 
inabidi kushirikiana ili kuweza kuhakikisha mazingira salama na yenye kuleta afya bora sehemu zote zinazohitaji huangalizi ili kuhepusha baraa la magonjwa ya mripuko mashuleni
 ASANTE