Translate

Translate

Saturday, 18 April 2015

WANAFUNZI HATARINI NA MAGONJWA YA MRIPUKO SHULENI

Ni katika hari ya kutisha sana ambayo mwandishi amethibitisha hatari iyo ambayo inapelekea magonjwa ya mripuko kama kipindupindu hata magonjwa ambayo yataendana na mazingira machafu pasipo kutuzwa . Hari hii imejionesha katika baadhi ya shule za wilaya ya Temeke jijini  Dar es salaam jambo ambalo ni hatari sana kwa afya za watoto ambao wapo shuleni .


 serikali na wananchi 
inabidi kushirikiana ili kuweza kuhakikisha mazingira salama na yenye kuleta afya bora sehemu zote zinazohitaji huangalizi ili kuhepusha baraa la magonjwa ya mripuko mashuleni
 ASANTE

No comments: