Nashukuru sana ndugu SALIMU KHAMISI kuuliza swali nzuri ila nitalijibu kwa faida ya watanzania wote.kamati hizi za PETS(ufatiliaji) zinzundwa na wananchi wanyewe iwe katika ngazi ya kijiji au mtaa,muhimu zaidi ni kuhakikisha kamati hii inaundwa na wahusika wa sehemu hiyo (wakazi),kila baada ya miezi mitatu serikali ya kijiji au mtaa mwenyekiti anawajibu wa kuitisha mkutano kuu ni lazima na mwana nchi hana haki ya kumuoji kiongozi wake kama mkutano ujafanyika,sasa katika mkutano huu hapo ndipo kamati hizo utengenezwa kwa kuchaguliwa na wananchi wenyewe kamati inatakiwa iwe na watu 7 hadi 15,muhimu kuachaguwa watu wenye sifa na kuhusisha jinsia yaani kila kundi lazima lishiriki,wanawake,wanaume,walemavu,vijana,na hata wazee.sifa muhimu asiwe nahitikadi za uchama(asitumie siasa katika kufanya kazi hii ya PETS)kushiriki kwa viongozi inategemeana na jinsi wananchi watakavyo hamua namaanisha kuwa kama kiongozi anaonekana ni msaada kwa jamii yake na wananchi wana mkubali anaweza akaingia kwenye kamati hizo.
kwa ufupi sana nimejibu ila ndugu watanzania tunaitaji elimu hii kwa ukalibu zaidi.
piga tena namba yangu upate maelekezo kama utakwama 0712064800 uliza maswali kwa faidi yetu sote
Translate
Translate
Saturday, 26 October 2013
JE?UNAJUWA MUUNDO WA SERIKALI
Muhihimu sana kwa kila mtanzania kujuwa muundo wa serikali yetu,hii inaweza kutusaidia katika mchakato mzima wa ufatiliaji na kufikia malengo ya mwaka 2025 ya utawala bora,vijana wezangu,mama zangu,kaka zangu,na baba zangu bila kusahau wazee wangu lazima tutambue nchi ya Tanzania ni yetu na tunastahili kupata kile ambacho kinastahili kupata bila kuzulumiwa na mtu wowote.
MUUNDO WA SERIKLI upo katika mgawanyo wa serikali mbili ambazo ni SERIKALI KUU na SERIKALI ZA MITAA.serikali hizi uhundwa na wananchi wenyewe katika kuwachuguwa viongozi wao.tukianza na serikali kuu inahusisha viongozi wa ngazi za juu.serikali hii inamajukumu ya kusimamia majukumu ya utekelezaji wa sheria,kusimamia maslahi ya wananchi,kutoa ulinzi na usalama,kuwapa wananchi huduma stahili kama afya,elimu,ujenziwa miundo mbinu,n.k haya yote ni majukumu ya serikali.serikali kuu inaviongozi wake TAASISI YA URAHISI,MAKAMU WA RAHISI,WAZIRI MKUU ambae ni kiongozi na msimamizi wa shughuli zote.
SERIKALI ZA MITAA inaundwa na mamlaka ya mji,manispaa ya mji,na mamlaka ya vijiji ambayo inajumuhisha halmashauri ya wilaya..hizi serikali mbili zinahusiana katika majukumu ya kazi mfano serikali kuu utekeleza majukumu yake kwa kufanya ugatuzi wa madaraka katika serikali za mitaa.
(kwa kuwa watanzania hatuna desturi ya kusoma basi niishie hapo kama utakuwa na swali uliza kupitia namba 0712064800 utapata jibu hapo hapo)
asante mafunzo haya natoa bure kwa mtazania yoyote yule ili tubadilishe taifa letu.
MUUNDO WA SERIKLI upo katika mgawanyo wa serikali mbili ambazo ni SERIKALI KUU na SERIKALI ZA MITAA.serikali hizi uhundwa na wananchi wenyewe katika kuwachuguwa viongozi wao.tukianza na serikali kuu inahusisha viongozi wa ngazi za juu.serikali hii inamajukumu ya kusimamia majukumu ya utekelezaji wa sheria,kusimamia maslahi ya wananchi,kutoa ulinzi na usalama,kuwapa wananchi huduma stahili kama afya,elimu,ujenziwa miundo mbinu,n.k haya yote ni majukumu ya serikali.serikali kuu inaviongozi wake TAASISI YA URAHISI,MAKAMU WA RAHISI,WAZIRI MKUU ambae ni kiongozi na msimamizi wa shughuli zote.
SERIKALI ZA MITAA inaundwa na mamlaka ya mji,manispaa ya mji,na mamlaka ya vijiji ambayo inajumuhisha halmashauri ya wilaya..hizi serikali mbili zinahusiana katika majukumu ya kazi mfano serikali kuu utekeleza majukumu yake kwa kufanya ugatuzi wa madaraka katika serikali za mitaa.
(kwa kuwa watanzania hatuna desturi ya kusoma basi niishie hapo kama utakuwa na swali uliza kupitia namba 0712064800 utapata jibu hapo hapo)
asante mafunzo haya natoa bure kwa mtazania yoyote yule ili tubadilishe taifa letu.
Subscribe to:
Posts (Atom)