Muhihimu sana kwa kila mtanzania kujuwa muundo wa serikali yetu,hii inaweza kutusaidia katika mchakato mzima wa ufatiliaji na kufikia malengo ya mwaka 2025 ya utawala bora,vijana wezangu,mama zangu,kaka zangu,na baba zangu bila kusahau wazee wangu lazima tutambue nchi ya Tanzania ni yetu na tunastahili kupata kile ambacho kinastahili kupata bila kuzulumiwa na mtu wowote.
MUUNDO WA SERIKLI upo katika mgawanyo wa serikali mbili ambazo ni SERIKALI KUU na SERIKALI ZA MITAA.serikali hizi uhundwa na wananchi wenyewe katika kuwachuguwa viongozi wao.tukianza na serikali kuu inahusisha viongozi wa ngazi za juu.serikali hii inamajukumu ya kusimamia majukumu ya utekelezaji wa sheria,kusimamia maslahi ya wananchi,kutoa ulinzi na usalama,kuwapa wananchi huduma stahili kama afya,elimu,ujenziwa miundo mbinu,n.k haya yote ni majukumu ya serikali.serikali kuu inaviongozi wake TAASISI YA URAHISI,MAKAMU WA RAHISI,WAZIRI MKUU ambae ni kiongozi na msimamizi wa shughuli zote.
SERIKALI ZA MITAA inaundwa na mamlaka ya mji,manispaa ya mji,na mamlaka ya vijiji ambayo inajumuhisha halmashauri ya wilaya..hizi serikali mbili zinahusiana katika majukumu ya kazi mfano serikali kuu utekeleza majukumu yake kwa kufanya ugatuzi wa madaraka katika serikali za mitaa.
(kwa kuwa watanzania hatuna desturi ya kusoma basi niishie hapo kama utakuwa na swali uliza kupitia namba 0712064800 utapata jibu hapo hapo)
asante mafunzo haya natoa bure kwa mtazania yoyote yule ili tubadilishe taifa letu.
No comments:
Post a Comment