1)umri wa wanakamati;wawe wa umri tofauti kamati inaweza kuwa na mchanganyiko wa vijana na wazee
2)jinsia;kamati izingatie uwakilishi sawa wa watu wa jinsia zote wanawake na wanaume
3)dini mbalimbali;kamati iwe na uwakilishi wa watu kutoka dini mbalimbali zilizopo katika eneo
4)uwezo;wanakamati wawe na uwezo wa kusoma na kuandika kiswahili,na pia angalau wajue hesaba kidogo,ingawa kutojua hesabu haiwezi kuwa hoja kuu.
5)uwezo wa kujieleza ;wanakamati wawe na uwezo wenyeuwezo wa kujiuliza vizuri kwani,mara nyingi watapaswa kutembelea ofisi mbalimbali serikali katika kutafuta taarifa na nyaraka mbalimbali hivyo itabidi waweze kuelezea mahitaji yao.
KIMSINGI LAZIMA TUZINGATIE SANA KWANI KAZI HII TUNAFANYA NA WATU TOFAUTI KATIKA NYANJA TOFAUTI WANAKAMATI LAZIMA WAWE MAKINI SANA KATIKA HILI
maswali ya na ruhusiwa unaweza tuma kupitia email pimal1990@gmail.com/0712064800
asante.
No comments:
Post a Comment