Translate

Translate

Wednesday, 9 April 2014

UTAWALA WA KIDEMOKRASIA KATIKA JAMII NINI?soma ufahamu.

Mwananchi ana wajibu na majukumu yake kuhakikisha kuwa kiongozi aliyemchagua au kuteuliwa anatimiza wajibu wake ipasavyo katika viwango vinavyokubalika katika eneo la kijiji/mtaa.Kila mwananchi ana wajibu wa kupanga na kukataa kila aina ya uovu katika jamii ikiwemo rushwa,uonevu,wizi,ubadhilifu wa mali za umma nay a watu binafsi.
Mwananchi pia wana jukumu la kudai na kupigania haki zao za wananchi wengine kutoa malalamiko na kuuliza maswalijuu ya mambo mbalimbali vya jamii na kiserikali.Wananchi wanashiriki katika serikali za mitaa kupitia vikao au mikutano mbalimbali ambapo hujadili na kutoa mapendekezo yao kuhusu mipango na matatizo yanayowakabili kwa namna moja au nyingine ili kuweza kupatiwa ufumbuzi na kurahisiha uboreshaji wa huduma za kijamii katika maeneo yao wanamoishi.



TUNGEIJUA 
VIZURI SOMO LA DEMOKRASIA TUNGEIPIGANIA MPAKA VIONGOZI WAIFATE IPASVYO

No comments: