PETS imethibitika ni kati ya dhana na nyenzo muhimu katika ufuatiliaji wa matumizi ya rasilimali za umma,hasa pale inapofanyika kwa mtizamo wa kijinsia.Hivyo basi,PETS inalenga kufanikisha yafuatayo;
1)kuboresha utoaji huduma
2)kuhakikisha utendaji wa serikali na mamlaka husika
3)kukuza uwajibikaji
4)Kuwezesha uandaaji wa mipango shirikishi ya maendeleo




No comments:
Post a Comment