VIONGOZI WA DINI wananafasi kubwa sana katika masuala ya kiroho,pia dini zina wajibu mkubwa sana wa kuchangia katika masuala ya kawaida ya kibinadamu,hasa katika shughuli za ki- maendeleo na uchumi ili kuwasaidia waumini kukabiliana ba changamoto za maisha.DINI kama sehemu ya jamii ,zina wajibu na majukumu makubwa ya kushauri,kuelekeza,kuonya,kufundisha na kukemea mienendo yoyote isiyofaa na hasa inayokinzana na misingi yaUADILIFU,UWAJIBIKAJI,USAWA,na HAKI hivyo kuhamasisha waumini kumcha MUNGU ili kukomesha uharibifu na ubadhilifu na kusimamia vyema rasilimali za umma ili ziwe na faida kwa wote.
MAENDELEO HAYANA DINI WALA KABIRA WOTE TUNAHATHIRIKA NA UBADHILIFU UNAO JITOKEZA HIVYO KWENYE MASUALA YA MAENDELEO WOTE WAMOJA.
ASANTE
No comments:
Post a Comment