Translate

Translate

Tuesday, 15 April 2014

SOMA UJUE VYANZO VYA HAKI VYA MWANANCHI WA TANZANIA

HAKI ZA UHALALI WA MWANANCHI KUFATILIA MATUMIZI YA RASILIMALI ZA UMMA(PETS)
Haki ni stahili ya binadam .Hii inamaanisha kuwa mtu ana haki kwa kuwa anastahili ya kutenda jambo Fulani,au wengine wanatakiwa kutenda au kumtendea jambo Fulani katika hali Fulani . Haki zinaweza kuwa binafsi au za jumla . Kwa lugha rahisi ,tunasema kuwa haki ni stahili za msingi ambazo binadamu yeyote Yule bila kujali jinsia ,umri ,itikadi,dini,rangi ,kabila au aina yoyote ya utofauti huzaliwa nazo na hazitolewi na mtu na wala haziwezi kuondolewa na mtu kwa sababu yeyote .vivyo hivyo ,uhalali wa mtu kufanyanya au kufanyiwa jambo Fulani ,unatikana na stahili ambayo mtu au wattu wanakuwa nayo kw mujibu wa sheria ,sera kanuni ,taratibu au muongozo husika,Ni kwa muktadha huo,wananchi kupitia sheria ,sera,matamko ,mikataba ,kanunui na miongozo mbalimbali ,wanapata haki na uhalali wa kufuatilia matumizi ya rasilimali za umma kila mara wanapoona inafaa kufanya hivyo

                 NB;VYANZO VYA HAKI
a)mila na desturi
b)katiba ya nchi
c)sera na miongozo
c)sheria za nchi
d)kanuni na mikataba ya kitaifa /kimataifa

No comments: