Hisia zangu zinanituma kuandika maneno haya.
Ni wazi kabisa viongozi hapa nchini hawajui nini maana ya uadilifu au kama kama wanajua basi wanakusudia kufanya mambo yasiofaa katika jamii,sina maana ya viongozi wote si waadilifu ila penye asilimia nyingi basi tutasema karibia wote,waliokuwa waadilifu basi hawana nguvu ya kusema wala si raisi kujionyesha,UADILIFU ni neno pana sana na linaweza likawa soma kubwa sana ambalo viongozi wetu walitakiwa kupatiwa kabla hawajaanza kupokea madaraka kimsingi UADILIFU inajumuisha tabia zote ambazo zinampendeza binadamu katika kutenda haki na kumjali na kumuhurumia zaidi ya kujiurumia wewe mwenyewe,UADILIFU ni kufanya jambu zaidi bila kujali maslahi yako na ikiwezekana kuongeza zaidi ya uwezo wa kawaida ambao mtu si raisi kujitoa dhana hii inabeba tabia nyingi mfano lazima uwe na HEKIMA,BUSARA,UPOLE,UTARATIBU,MWENYE SIFA YA PEKEE,UPENDO,UKWELI,MWAJIBIKAJI KULIKO KAWAIDA,HURUMA na n.k hizi zote ni UADILIFU tunamifano ya watu duniani waliokuwa waadilifu kihistoria YESU CHRISTU,MTUME MOHAMAD na n.k,UADILIFU ni ile hari ya kujitolea kufanya jambo kwa ajili ya mtu mwingine bila kujali kitakacho kukuta ili kumpendeza MUNGU wako kulingana na imani.
Binafsi ningewaasa viongozi wa TANZANIA kujifunza UADILIFU ili kuweza kuifikisha mbali nchi yetu wajue kuurumia watoto,wamama,wazee,wa baba,vijana na hata walemavu ili siku moja wapate neema ya MUNGU.
asante.
Translate
Translate
Wednesday, 30 October 2013
Sunday, 27 October 2013
Saturday, 26 October 2013
JE? TUNAWEZAJE KUUNDA KAMATI ZA UFATILIAJI WA RASILIMALI ZETU ?
Nashukuru sana ndugu SALIMU KHAMISI kuuliza swali nzuri ila nitalijibu kwa faida ya watanzania wote.kamati hizi za PETS(ufatiliaji) zinzundwa na wananchi wanyewe iwe katika ngazi ya kijiji au mtaa,muhimu zaidi ni kuhakikisha kamati hii inaundwa na wahusika wa sehemu hiyo (wakazi),kila baada ya miezi mitatu serikali ya kijiji au mtaa mwenyekiti anawajibu wa kuitisha mkutano kuu ni lazima na mwana nchi hana haki ya kumuoji kiongozi wake kama mkutano ujafanyika,sasa katika mkutano huu hapo ndipo kamati hizo utengenezwa kwa kuchaguliwa na wananchi wenyewe kamati inatakiwa iwe na watu 7 hadi 15,muhimu kuachaguwa watu wenye sifa na kuhusisha jinsia yaani kila kundi lazima lishiriki,wanawake,wanaume,walemavu,vijana,na hata wazee.sifa muhimu asiwe nahitikadi za uchama(asitumie siasa katika kufanya kazi hii ya PETS)kushiriki kwa viongozi inategemeana na jinsi wananchi watakavyo hamua namaanisha kuwa kama kiongozi anaonekana ni msaada kwa jamii yake na wananchi wana mkubali anaweza akaingia kwenye kamati hizo.
kwa ufupi sana nimejibu ila ndugu watanzania tunaitaji elimu hii kwa ukalibu zaidi.
piga tena namba yangu upate maelekezo kama utakwama 0712064800 uliza maswali kwa faidi yetu sote
kwa ufupi sana nimejibu ila ndugu watanzania tunaitaji elimu hii kwa ukalibu zaidi.
piga tena namba yangu upate maelekezo kama utakwama 0712064800 uliza maswali kwa faidi yetu sote
JE?UNAJUWA MUUNDO WA SERIKALI
Muhihimu sana kwa kila mtanzania kujuwa muundo wa serikali yetu,hii inaweza kutusaidia katika mchakato mzima wa ufatiliaji na kufikia malengo ya mwaka 2025 ya utawala bora,vijana wezangu,mama zangu,kaka zangu,na baba zangu bila kusahau wazee wangu lazima tutambue nchi ya Tanzania ni yetu na tunastahili kupata kile ambacho kinastahili kupata bila kuzulumiwa na mtu wowote.
MUUNDO WA SERIKLI upo katika mgawanyo wa serikali mbili ambazo ni SERIKALI KUU na SERIKALI ZA MITAA.serikali hizi uhundwa na wananchi wenyewe katika kuwachuguwa viongozi wao.tukianza na serikali kuu inahusisha viongozi wa ngazi za juu.serikali hii inamajukumu ya kusimamia majukumu ya utekelezaji wa sheria,kusimamia maslahi ya wananchi,kutoa ulinzi na usalama,kuwapa wananchi huduma stahili kama afya,elimu,ujenziwa miundo mbinu,n.k haya yote ni majukumu ya serikali.serikali kuu inaviongozi wake TAASISI YA URAHISI,MAKAMU WA RAHISI,WAZIRI MKUU ambae ni kiongozi na msimamizi wa shughuli zote.
SERIKALI ZA MITAA inaundwa na mamlaka ya mji,manispaa ya mji,na mamlaka ya vijiji ambayo inajumuhisha halmashauri ya wilaya..hizi serikali mbili zinahusiana katika majukumu ya kazi mfano serikali kuu utekeleza majukumu yake kwa kufanya ugatuzi wa madaraka katika serikali za mitaa.
(kwa kuwa watanzania hatuna desturi ya kusoma basi niishie hapo kama utakuwa na swali uliza kupitia namba 0712064800 utapata jibu hapo hapo)
asante mafunzo haya natoa bure kwa mtazania yoyote yule ili tubadilishe taifa letu.
MUUNDO WA SERIKLI upo katika mgawanyo wa serikali mbili ambazo ni SERIKALI KUU na SERIKALI ZA MITAA.serikali hizi uhundwa na wananchi wenyewe katika kuwachuguwa viongozi wao.tukianza na serikali kuu inahusisha viongozi wa ngazi za juu.serikali hii inamajukumu ya kusimamia majukumu ya utekelezaji wa sheria,kusimamia maslahi ya wananchi,kutoa ulinzi na usalama,kuwapa wananchi huduma stahili kama afya,elimu,ujenziwa miundo mbinu,n.k haya yote ni majukumu ya serikali.serikali kuu inaviongozi wake TAASISI YA URAHISI,MAKAMU WA RAHISI,WAZIRI MKUU ambae ni kiongozi na msimamizi wa shughuli zote.
SERIKALI ZA MITAA inaundwa na mamlaka ya mji,manispaa ya mji,na mamlaka ya vijiji ambayo inajumuhisha halmashauri ya wilaya..hizi serikali mbili zinahusiana katika majukumu ya kazi mfano serikali kuu utekeleza majukumu yake kwa kufanya ugatuzi wa madaraka katika serikali za mitaa.
(kwa kuwa watanzania hatuna desturi ya kusoma basi niishie hapo kama utakuwa na swali uliza kupitia namba 0712064800 utapata jibu hapo hapo)
asante mafunzo haya natoa bure kwa mtazania yoyote yule ili tubadilishe taifa letu.
Friday, 25 October 2013
MAFUNZO YA PETS BURE
PETS(PUBLIC EXPENDICTURE TRACKING SYSTEM OR SURVEY)mfumo wa ufatiliaji wa matumizi wa rasilimali za umma,.
Huu ni mfumo rafiki ambao unawaitaji viongozi wetu kuwa wawajibikaji na wawazi na kuwa na usawa katika jamii ya kitanzania.Hivyo basi mfumo huu upo sambamba kabisa na mapato na matumizi katika muundo mzima wa serikali.Jambo la msingi ni kujua kodi zetu ndo zinaleta maendeleo katika nchi yetu hivyo wananchi tunahaki ya kuoji na kuuliza na kukemea pale unapotokea ubadhirifu hivyo tutambue kuwa watu wote wa serikali tunawalipa sisi wananchi kwa kodi zetu hivyo tusikubali kodi zetu zitumike vibaya pasipo na sababu ya msingi tena kwa faida ya mtu binafsi ila tudai haki ya kodi zetu kwa kufanya shughuri za kimaendeleo zaidikuliko za kawaida.mfano unakuta viongozi wanapanga bajeti kubwa katika matumizi ya kawaida kuliko ya maendeleo.LAZIMA WATANZANIA IFIKE WAKATI TUFATILIE MATUMIZI YA FEDHA ZETU AMBAZO NI KODI KILA MWANANCHI ANALIPA KODI JE?SERIKALI INAWAJIBIKA KATIKA PESA ZETU?.naitwa mwezeshaji JOSEPH MALISA natoa mafunzo haya bure kabisa katika kamati yoyote hapa nchi.gharama ya nauli juu yenu namba zangu 0712064800
Subscribe to:
Posts (Atom)