UTAWALA BORA
Utawala bora ni matumizi ya uwezo
(mamlaka)wa kiserikali katika jitihada za kuongeza na kutumia rasilimali hizo
ili kuboresha maisha ya wananchi
MISINGI YA
UTAWALA BORA
v Utawala wa kidemokrasia
v Ushirikishwaji wa umma
v Utawala wa kisheria
v Haki na usawa kwa watu wote
v Uwazi katika kuendesha shughuli za
maendeleo
v Uwajibikaji katika utendaji
v Uadilifu
Misingi hii ikizingatiwa
na kufanyiwa utekelezaji lazima mabadiliko yataonekana
No comments:
Post a Comment