Translate

Translate

Friday, 2 January 2015

JE? TANZANIA INA UTAWALA BORA click usome kujua nini utawala bora

UTAWALA BORA
Utawala bora ni matumizi ya uwezo (mamlaka)wa kiserikali katika jitihada za kuongeza na kutumia rasilimali hizo ili kuboresha maisha ya wananchi
MISINGI YA UTAWALA BORA
v      Utawala wa kidemokrasia
v      Ushirikishwaji wa umma
v      Utawala wa kisheria
v      Haki na usawa kwa watu wote
v      Uwazi katika kuendesha shughuli za maendeleo
v      Uwajibikaji katika utendaji
v      Uadilifu
Misingi hii ikizingatiwa na kufanyiwa utekelezaji lazima mabadiliko yataonekana

Ili utawala bora uwe na sifa za kupendeza na kuendwa na wananchi lazima uzingatie Misingi ya utawala bora.

No comments: